Monday, April 15, 2013
Wednesday, April 10, 2013
Watoto, ''wadhulumiwa sehemu za vita''
Shirika la kuwahudumia watoto la Save the Children, linasema kuwa watoto ndio waathiriwa wakubwa wa
ubakaji na dhulma zengeine za kingono katika maeneo ya vita duniani.
Ripoti ya shirika hilo inazingatia data waliokusanya pamoja na ushahidi kutoka katika nchi nyingi ikiwemo Colombia, Liberia na Jamuhuri ya kidemorasia ya Congo.
Taarifa zinazohusiana
afya
Save the Children linasema kuwa mipango mingi au miradi ya kusitisha dhulma hizo na kusaidia watoto huwa hazipati ufadhili wa kutosha
Swala hilo litajadiliwa na mawaziri wa mambo ya nje wa kundi la G8 au la nchi zilizostawi kiviwanda.
Uingereza ilisema kuwa itatoa kipaombele kwa swala la dhulma za kingono katika maeneo ya vita wakati wa uongozi wake wa G8 mwaka huu.
Ripoti hiyo ya Save the Children, yenye kauli mbiu, Dhulma za kinyama dhidi ya watoto, inasema kuwa takwimu kutoka katika nchi kadhaa, zilizoathirika kutokana na vita katika miaka kumi iliyopita, zinaonyesha kuwa watoto ndio hudhulumiwa zaidi kingono katika maeneo ya vita na hata baadaye.
Makovu ya kudumu
Utafiti uliofanywa nchini Liberia, ulionyesha kuwa asilimia 83 ya waathiriwa wa dhulma hizo, kati ya mwaka
2011-12 walikuwa chini ya umri wa miaka 17 na takriban wote walibakwa.
Nchini Sierra Leone, baada ya vita, zaidi ya asilimia 70 ya unyanyasaji wa kingono ulifanyiwa wasichana walio chini ya umri wa miaka 18, na zaidi ya nusu yao walikuwa chini ya umri wa miaka 11.
Katika Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo, takriban thuluthi mbili ya visa vya ubakaji vilivyorekodiwa na UN mwaka
2008, vilihusisha watoto na wengi wao wakiwa wale waliovunja ungo.
Wasichana na wavulana wanatekwa nyara na kudhulumiwa na wanajeshi pamoja na makundi ya wapiganaji , kwa mujibu wa shirika hilo.
ubakaji na dhulma zengeine za kingono katika maeneo ya vita duniani.
![]() |
| WA TOTO |
Taarifa zinazohusiana
afya
Save the Children linasema kuwa mipango mingi au miradi ya kusitisha dhulma hizo na kusaidia watoto huwa hazipati ufadhili wa kutosha
Swala hilo litajadiliwa na mawaziri wa mambo ya nje wa kundi la G8 au la nchi zilizostawi kiviwanda.
Uingereza ilisema kuwa itatoa kipaombele kwa swala la dhulma za kingono katika maeneo ya vita wakati wa uongozi wake wa G8 mwaka huu.
Ripoti hiyo ya Save the Children, yenye kauli mbiu, Dhulma za kinyama dhidi ya watoto, inasema kuwa takwimu kutoka katika nchi kadhaa, zilizoathirika kutokana na vita katika miaka kumi iliyopita, zinaonyesha kuwa watoto ndio hudhulumiwa zaidi kingono katika maeneo ya vita na hata baadaye.
Makovu ya kudumu
Utafiti uliofanywa nchini Liberia, ulionyesha kuwa asilimia 83 ya waathiriwa wa dhulma hizo, kati ya mwaka
2011-12 walikuwa chini ya umri wa miaka 17 na takriban wote walibakwa.
Nchini Sierra Leone, baada ya vita, zaidi ya asilimia 70 ya unyanyasaji wa kingono ulifanyiwa wasichana walio chini ya umri wa miaka 18, na zaidi ya nusu yao walikuwa chini ya umri wa miaka 11.
Katika Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo, takriban thuluthi mbili ya visa vya ubakaji vilivyorekodiwa na UN mwaka
2008, vilihusisha watoto na wengi wao wakiwa wale waliovunja ungo.
Wasichana na wavulana wanatekwa nyara na kudhulumiwa na wanajeshi pamoja na makundi ya wapiganaji , kwa mujibu wa shirika hilo.
Miili ya polisi waliouawa Nigeria yapatikana
Maafisa wa usalama nchini Nigeria wamepata miili 11 ya wanajeshi 12 waliouawa katika eneo lenye utajiri mkubwa wa mafuta la Niger Delta siku ya Ijumaa.
Polisi wanasema kuwa baadhi ya miili hiyo ilikuwa imekatwakatwa na kuchomwa kiasi cha kutotambulika.
Taarifa zinazohusiana
Siasa
Wiki jana kundi moja la wapiganaji, lilisema kuwa litaanza mashambulizi mapya baada ya kiongozi wake Henry Okah, kufungwa jela kwa kufanya shambulizi la bomu mwaka 2010.
Eneo hilo lenye utajiri wa mafuta, ni muhimu sana kwa uchumi wa Nigeria.
Hata hivyo, watu wengi ni maskini na hivyo huchukizwa na serikali pamoja na makampuni ya mafuta kwa kutowafaidisha na rasilimali hiyo.
Mwishoni mwa wiki, kundi la wapiganaji wa MEND, walisema kuwa walivamia mashua iliyokuwa imewabeba polisi katika jimbo la Bayelsa na kuwaua polisi.
Msemaji wa polisi, Alex Akhigbe alisema kuwa miili 11 zilipatikana wakati polisi mmoja hajulikani aliko.
Miili hiyo ilisafirishwa kwa boti hadi katika eneo la Yenagoa ambao ni mji mkuu wa jimbo hilo kuchukuliwa na familia zao.
Aidha mwishoni mwa wiki polisi walikana kuwa mauaji hayo yanaweza kuhusishwa na kufungwa kwa Henry Okah.
Badala yake walisema kuwa yalihusu mgogoro wa malipo ya mishahara ya wapiganji hao waliokuwa wanalipwa baada ya kukomesha harakati zao za mapigano dhidi ya serikali.
Mashua za polisi waliokuwa wanamsindikiza mwenzao kwa mazishi, zilikumbwa na hitilafu na hivyo kulengwa na wapiganaji hao kwa mashambulizi.
Kundi la Mend lilikuwa linafanya vurugu kutaka kupewa sehemu ya rasilimali za mafuta Kusini mwa Nigeria lakini likasitisha harakati zao mwaka 2009, wakati waliposalimisha silaha na kusamehewa.
Polisi wanasema kuwa baadhi ya miili hiyo ilikuwa imekatwakatwa na kuchomwa kiasi cha kutotambulika.
Taarifa zinazohusiana
Siasa
Wiki jana kundi moja la wapiganaji, lilisema kuwa litaanza mashambulizi mapya baada ya kiongozi wake Henry Okah, kufungwa jela kwa kufanya shambulizi la bomu mwaka 2010.
Eneo hilo lenye utajiri wa mafuta, ni muhimu sana kwa uchumi wa Nigeria.
Hata hivyo, watu wengi ni maskini na hivyo huchukizwa na serikali pamoja na makampuni ya mafuta kwa kutowafaidisha na rasilimali hiyo.
Mwishoni mwa wiki, kundi la wapiganaji wa MEND, walisema kuwa walivamia mashua iliyokuwa imewabeba polisi katika jimbo la Bayelsa na kuwaua polisi.
Msemaji wa polisi, Alex Akhigbe alisema kuwa miili 11 zilipatikana wakati polisi mmoja hajulikani aliko.
Miili hiyo ilisafirishwa kwa boti hadi katika eneo la Yenagoa ambao ni mji mkuu wa jimbo hilo kuchukuliwa na familia zao.
Aidha mwishoni mwa wiki polisi walikana kuwa mauaji hayo yanaweza kuhusishwa na kufungwa kwa Henry Okah.
Badala yake walisema kuwa yalihusu mgogoro wa malipo ya mishahara ya wapiganji hao waliokuwa wanalipwa baada ya kukomesha harakati zao za mapigano dhidi ya serikali.
Mashua za polisi waliokuwa wanamsindikiza mwenzao kwa mazishi, zilikumbwa na hitilafu na hivyo kulengwa na wapiganaji hao kwa mashambulizi.
Kundi la Mend lilikuwa linafanya vurugu kutaka kupewa sehemu ya rasilimali za mafuta Kusini mwa Nigeria lakini likasitisha harakati zao mwaka 2009, wakati waliposalimisha silaha na kusamehewa.
Tuesday, April 2, 2013
Coming Soon: ‘Kwanza FM’ kituo cha radio mali ya Lady Jaydee.
Hatimaye tumepata jibu la kwanini Judith Mbibo aka Lady Jaydee amekuwa akitweet vitu vizito weekend iliyopita. Kama hukufaniwa kuziona tweets hizo ni kwamba mwanadada huyo alishusha mfululizo wa mabomu kuelekea kwa kituo kimoja cha radio na kujikuta akiongeza aka mpya, Anaconda.
Na sasa imebainika kuwa mwanamuziki huyo mkongwe na mjasiriamali anakuja na kituo chake cha radio kiitwacho Kwanza FM. Habari hiyo aliibreak mwenyewe jana na bila shaka haihusiani na April’s Fools Day.
Na sasa imebainika kuwa mwanamuziki huyo mkongwe na mjasiriamali anakuja na kituo chake cha radio kiitwacho Kwanza FM. Habari hiyo aliibreak mwenyewe jana na bila shaka haihusiani na April’s Fools Day.
Kwanza FM coming soon. Yangu mwenyewee
— Lady JayDee (@JideJaydee) April 1, 2013
Inaonesha kuwa mchakato wa kuanzisha radio hiyo unaenda vizuri kiasi cha kuweka wazi na kuwa hiyo ndio sababu alichukua uamuzi huo wa kuandika mambo ambayo yangeweza kuiharibu career yake ya muziki.
Huwezi kuanza mapambano km hujajizatiti, si utapigwa ufe.? Vita ni pale tu unapokuwa tayari. Sikuwa tayari huko nyuma ndio maana sikuongea— Lady JayDee (@JideJaydee) April 1, 2013
Kila lakheri Lady Jaydee. Kwa usimamizi wa mumewe Gadner G Habash ambaye ana uzoefu mkubwa kwenye masuala ya radio, kituo hicho huenda kikafanya vizuri.
Monday, April 1, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)




