Friday, May 10, 2013
Thursday, May 9, 2013
Soma Shairi la Hoja za kijanja kutoka kwa Songa Hapa!
[Intro]
Yeaah… Duke Tachez.. yeeah
[Ubeti wa Kwanza]
[Ubeti wa Kwanza]
Yeah, kwa uzima nafungua kinywa nachomoa hii habari
Naisoma kwa kina vina vinatoboa ka’ bikari
Nimepima homa kwenye roho ya hii sayari
Wanasema n’na ngoma eti nakohoa mistari
Sihitaji support kupost stanza nia
Verse ni lugha mbili ka’ noti ya Tanzania
Vibaraka wana njaa, bosi anawaza mia
Ni mkosi balaa, kitaa tozi anatanga njia
Mbwiga hasifiki kwa ubingwa wa busara
Ukiona giza na jogoo haliwiki ujue mida ya kulala
MC vipi? Mbona huwakilishi shida ya fukara?
Au umeshapata tija umesahau tiba uchwara?
Mdomo… hauachi tathmini ya amani ya mswaki
Mtoa roho angepokea rushwa maskini gani angebaki?
Stuck kwenye move mi’ ni mkali kwenye flow
Na-scratch maujuzi m’ ni chaki we ni black wall
Mzungu anaiga kwenye shida ndugu Mungu,
Narusha machungu zaidi ya miba ya nungunungu
Nyoa dungu huu ni msiba mbwiga tubu
Nimeshika rungu nyumbu anasinywa ka’ sungusungu!
[Kiitikio x2]
Niite SONGA!
Kanuni ya harakati,
Wana haraka wapo kati nabuni sina tamati,
Niite SONGA!
Thamani ya muwajibikaji,
Maisha darasa huru na mi’ ndo muelimikaji
[Ubeti wa Pili]
Wazazi wanasema nimeshakua
Ina maana… vibaya na vyema nimeshajua
Jua linazama tazama inanyesha mvua
Nakesha kwa dua kumuombea anayekesha akivua
Alfajiri inafika na mwezi unazama
Jogoo la Mbishi lawika na wezi wanahama
Yamaanisha zienzi tenzi kwa ujenzi salama
Uweze chutama japo kuna washenzi wanabana
Wanasema mi’ ni mkali ila why sisikiki?
Bei ya sukari inafanya ninywe chai na pipi
Rafiki… mnafiki hanifai kwa dhiki
N’nachomshukuru Mungu tu uhai silipii
Cheza pazuri, ukiweza eneza kauli
Wajinga wanatoa macho ka’ wamepoteza nauli
Tenzi shule kwa hizi tungo nikumbuke
Hizi verse nagawa bure kwenye midundo ya Duke
[Kiitikio x2]
[Ubeti wa Tatu]
Baba ananiambia… Maneno hayavunji kuti
Sawa nachana ila mbona flow zangu hazifumi suti
Mi’ mweusi roho yangu haifugi chuki
Dada anasema usiposoma mdogo wangu utarudi bushi
Meza ukweli kwa pressure uteme uongo
Palla anasema Mhaya nd’o kauleta umeme bongo
Kama husajiliwi jitahidi uchenze ndondo
Mwema Mungu sio Said anayesema ubebe gongo
Sifuri ndio inaanza na moja ndio ya pili
Cha ajabu ya pili inaanza na kwanza inasubiri
Hoja ya kishamba haina haja ya kuijadili
Hii ni hoja ya kijanja pata stanza na akili
Hii mic ni shamba na mimi ndio mkulima
Navuna ninachopanda na ulimi ndio unalima
Hapa utaganda huu sio Umwinyi na Ujima
Mzazi mwambie mwana mjini si pa kupima…
Baba ananiambia… Maneno hayavunji kuti
Sawa nachana ila mbona flow zangu hazifumi suti
Mi’ mweusi roho yangu haifugi chuki
Dada anasema usiposoma mdogo wangu utarudi bushi
Meza ukweli kwa pressure uteme uongo
Palla anasema Mhaya nd’o kauleta umeme bongo
Kama husajiliwi jitahidi uchenze ndondo
Mwema Mungu sio Said anayesema ubebe gongo
Sifuri ndio inaanza na moja ndio ya pili
Cha ajabu ya pili inaanza na kwanza inasubiri
Hoja ya kishamba haina haja ya kuijadili
Hii ni hoja ya kijanja pata stanza na akili
Hii mic ni shamba na mimi ndio mkulima
Navuna ninachopanda na ulimi ndio unalima
Hapa utaganda huu sio Umwinyi na Ujima
Mzazi mwambie mwana mjini si pa kupima…
[Kiitikio x2]
Mashairi ya mwana harakati Fid q Sihitaji Marafiki!
Fid q
Maisha huja na changamoto nyingi mno, hasa katika kipindi cha ujana. Fid
Q anasema,”Urafiki sitaki, hauleti maendeleo; masaa hayarudi nyuma kama
muda wa kufuturu; walioukataa utumwa wanastuka hawana uhuru.”
[Fid Q - Ubeti wa Kwanza]
Machizi sikusoma nao, tulikutana tu mtaani
Udogoni sikucheza nao lakini ndo machizi wa ukubwani
Machizi sikusoma nao, tulikutana tu mtaani
Udogoni sikucheza nao lakini ndo machizi wa ukubwani
Machizi sikusoma nao, tulikutana tu mtaani
Udogoni sikucheza nao lakini ndo machizi wa ukubwani
Machizi sikusoma nao, tulikutana tu mtaani
Udogoni sikucheza nao lakini ndo machizi wa ukubwani
Haijalishi ulikuwa na wangapi, bali wangapi uko nao
Washkaji ambao… kosa lako lao wakati hauna mafao
Wanaokufikiria wewe muda ambao, wenzao walionao
Wanafikiria wengine nd’o wanao, now
Kupata washkaji ukiwa na pesa ni rahisi
Kuwapata na hauna kitu ujue umefanikiwa kichizi
Mie sikufichi sihitaji urafiki na usupastaa
Uki-hit ndo unang’aa, upishwe u-seat kwenye bar,upewe beat na JR
Kitu ambacho haikuwa rahisi kipindi Fid ni underground
Siku hizi mabinti wanaoni-miss ni walioni-diss, mie sio mdau
Wanakubali mie ni mkali wanataka kuijua Mwanza
Ninayoitangaza nikiwa safari kama habari za Kwanza
UNIT na Prof Ludi walionifunza kukaza
Kwetu mbali sijui lini nitarudi? Lokua Kanza
Sihitaji marafiki, labda baadae wakitokea
Aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea
Washkaji ambao… kosa lako lao wakati hauna mafao
Wanaokufikiria wewe muda ambao, wenzao walionao
Wanafikiria wengine nd’o wanao, now
Kupata washkaji ukiwa na pesa ni rahisi
Kuwapata na hauna kitu ujue umefanikiwa kichizi
Mie sikufichi sihitaji urafiki na usupastaa
Uki-hit ndo unang’aa, upishwe u-seat kwenye bar,upewe beat na JR
Kitu ambacho haikuwa rahisi kipindi Fid ni underground
Siku hizi mabinti wanaoni-miss ni walioni-diss, mie sio mdau
Wanakubali mie ni mkali wanataka kuijua Mwanza
Ninayoitangaza nikiwa safari kama habari za Kwanza
UNIT na Prof Ludi walionifunza kukaza
Kwetu mbali sijui lini nitarudi? Lokua Kanza
Sihitaji marafiki, labda baadae wakitokea
Aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea
[Yvonne - Kiitikio x2]
Sihitaji marafiki, no no no
Sihitaji marafiki, marafiki siwahitaji
Sihitaji marafiki, no no no
Sihitaji marafiki, marafiki siwahitaji
[Fid Q - Ubeti wa Pili]
Na usupastaa huwa ni feki, utakung’arisha ukiwa na market
Utakupatia senti, utapita juu ya red carpet
Utageuka Young & Restless, utakupa wanawake
Utakupa ma-fake brethrenz.. kisha utaenda zake
Kwahiyo power, it’s not permanent.. huwa ipo kwa muda tu
Respect your own conglomorete, fikiri kikubwa tu
Masaa hayarudi nyuma kama muda wa kufuturu
Walioukataa utumwa wanastuka hawana uhuru
Wanazusha najis’kia, so I’m my own best friend
Sikia Fid Q anamsifia Fareed ni bandidu, sio “Yes Man”
Naweza nikakata ringi kiasi cha ku-to-pay attention
Lakini sio tajiri wa ku-afford kuua true friendship
Tuweke siasa kando sababu kichwa kinanigonga
Na hizi falsafa double-double ajabu sio kinywa cha mjomba
Sihitaji marafiki, labda baadae wakitokea
Aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea
Na usupastaa huwa ni feki, utakung’arisha ukiwa na market
Utakupatia senti, utapita juu ya red carpet
Utageuka Young & Restless, utakupa wanawake
Utakupa ma-fake brethrenz.. kisha utaenda zake
Kwahiyo power, it’s not permanent.. huwa ipo kwa muda tu
Respect your own conglomorete, fikiri kikubwa tu
Masaa hayarudi nyuma kama muda wa kufuturu
Walioukataa utumwa wanastuka hawana uhuru
Wanazusha najis’kia, so I’m my own best friend
Sikia Fid Q anamsifia Fareed ni bandidu, sio “Yes Man”
Naweza nikakata ringi kiasi cha ku-to-pay attention
Lakini sio tajiri wa ku-afford kuua true friendship
Tuweke siasa kando sababu kichwa kinanigonga
Na hizi falsafa double-double ajabu sio kinywa cha mjomba
Sihitaji marafiki, labda baadae wakitokea
Aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea
[Fid Q - Ubeti wa Pili]
Na usupastaa huwa ni feki, utakung’arisha ukiwa na market
Utakupatia senti, utapita juu ya red carpet
Utageuka Young & Restless, utakupa wanawake
Utakupa ma-fake brethrenz.. kisha utaenda zake
Kwahiyo power, it’s not permanent.. huwa ipo kwa muda tu
Respect your own conglomorete, fikiri kikubwa tu
Masaa hayarudi nyuma kama muda wa kufuturu
Walioukataa utumwa wanastuka hawana uhuru
Wanazusha najis’kia, so I’m my own best friend
Sikia Fid Q anamsifia Fareed ni bandidu, sio “Yes Man”
Naweza nikakata ringi kiasi cha ku-to-pay attention
Lakini sio tajiri wa ku-afford kuua true friendship
Tuweke siasa kando sababu kichwa kinanigonga
Na hizi falsafa double-double ajabu sio kinywa cha mjomba
Sihitaji marafiki, labda baadae wakitokea
Aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea
Na usupastaa huwa ni feki, utakung’arisha ukiwa na market
Utakupatia senti, utapita juu ya red carpet
Utageuka Young & Restless, utakupa wanawake
Utakupa ma-fake brethrenz.. kisha utaenda zake
Kwahiyo power, it’s not permanent.. huwa ipo kwa muda tu
Respect your own conglomorete, fikiri kikubwa tu
Masaa hayarudi nyuma kama muda wa kufuturu
Walioukataa utumwa wanastuka hawana uhuru
Wanazusha najis’kia, so I’m my own best friend
Sikia Fid Q anamsifia Fareed ni bandidu, sio “Yes Man”
Naweza nikakata ringi kiasi cha ku-to-pay attention
Lakini sio tajiri wa ku-afford kuua true friendship
Tuweke siasa kando sababu kichwa kinanigonga
Na hizi falsafa double-double ajabu sio kinywa cha mjomba
Sihitaji marafiki, labda baadae wakitokea
Aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea
[Yvonne - Kiitikio x2]
[Fid Q - Ubeti wa Tatu]
Rafiki wa kweli yukoje? Ni mkimya au anayechonga?
Yule aliyekupa jina, au pengine anayekuponda?
Anayezuia usidondoke au anayesubiria kukuokota?
Au ni yule ambaye ukimuudhi anakutusi kabla hajaondoka?
Hakuna adui mbaya ka’ rafiki yako mwenyewe ambaye hajui
Ka’ yupo nawe au yupo kinyume na wewe
Bora adui, kama hachachawi utaenda muomba akuelewe
Ka’ buibui, naweka tandu mtaenda kando mzingue?
Kwani machizi wenyewe wako wapi ambao wanastahiki niwape vyeo
Inabidi tu uwaache waku-watch kwenye kideo
Unakula nao happy leo, kesho wanamtaka mkeo
Urafiki sitaki, hauletagi maendeleo
Nilitamani kuwa mjamaa niwe genge kama Nature
Wachache niliowafanya wakang’aa wanayaweka maisha yangu in danger
Sihitaji marafiki, labda baadae wakitokea
Aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea
Yule aliyekupa jina, au pengine anayekuponda?
Anayezuia usidondoke au anayesubiria kukuokota?
Au ni yule ambaye ukimuudhi anakutusi kabla hajaondoka?
Hakuna adui mbaya ka’ rafiki yako mwenyewe ambaye hajui
Ka’ yupo nawe au yupo kinyume na wewe
Bora adui, kama hachachawi utaenda muomba akuelewe
Ka’ buibui, naweka tandu mtaenda kando mzingue?
Kwani machizi wenyewe wako wapi ambao wanastahiki niwape vyeo
Inabidi tu uwaache waku-watch kwenye kideo
Unakula nao happy leo, kesho wanamtaka mkeo
Urafiki sitaki, hauletagi maendeleo
Nilitamani kuwa mjamaa niwe genge kama Nature
Wachache niliowafanya wakang’aa wanayaweka maisha yangu in danger
Sihitaji marafiki, labda baadae wakitokea
Aje mmoja wa kuongea nae, na mwingine wa kumuongelea
[Yvonne - Kiitikio x2]
Huyu ndo Kijana ALIYEMKAMATA MLIPUA BOMU KANISANI ANENA MAZITO, SOMA ALICHOKISEMA HAPA !
Kijana
aliyemkimbiza hadi kumkamata mtu anayedaiwa kuhusika na kulipua bomu
katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti, jijini
Arusha akiwaelezea wananchi ilivyokuwa.
Alisema siku ya tukio baada ya bomu hilo kulipuliwa kanisani hapo, yeye alimwona mlipuaji huyo hivyo akaungana na watu wengine kumkimbiza.
“Mtuhumiwa alikuwa akikimbia ujue, sisi tulimkimbiza bila kuogopa kama ana mabomu mengine kwenye mfuko. Alipoona hatukati tamaa, alifika kwenye shamba la miwa akajilaza, lakini mbwa waliokuwa na sisi walitusaidia sana,” alisema shujaa huyo.
Aliendelea kusema kuwa walipomdaka mtuhumiwa huyo walimkuta na mfuko wa rambo, walipochungulia ndani yake walishtuka, kumbe alikuwa na mabomu yaliyosalia!
Hata hivyo, alisema yeye na mabomu yake hawakumwachia na dakika chache wananchi wenye hasira kali walifika eneo hilo wakiwa na silaha za jadi wakitaka kumuua ndipo polisi walipofika eneo hilo na kumchukua mtuhumiwa huyo kwenda naye kituoni.
Baadhi ya wananchi waliozungumza na gazeti hili walisema kijana huyo amekuwa staa ghafla, hivyo wakaitaka serikali kumfikiria kwani ameonesha kitendo cha kishujaa.
“Huyu kijana amekuwa staa ghafla aisee, kitendo alichokifanya ni cha kishujaa, si rahisi, serikali ingemfikiria kwa lolote,” alisema mtu mmoja aliyejiita Massawe na kuungwa mkono na wenzake
ALIYEMKIMBIZA hadi kumkamata mtu anayedaiwa kuhusika na kulipua bomu
katika Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi, Parokia ya Olasiti, jijini
Arusha Jumapili iliyopita na kuua watu 3 na wengine zaidi ya 70
kujeruhiwa ameibuka.
Kijana huyo ambaye wakati akizungumza na watu mbalimbali wakiwemo
waandishi wa habari jijini Arusha juzi alisahau kutaja jina lake,
alisema kuwa shughuli ya kumnasa mtuhumiwa huyo haikuwa lelemama hata
kidogo.Alisema siku ya tukio baada ya bomu hilo kulipuliwa kanisani hapo, yeye alimwona mlipuaji huyo hivyo akaungana na watu wengine kumkimbiza.
“Mtuhumiwa alikuwa akikimbia ujue, sisi tulimkimbiza bila kuogopa kama ana mabomu mengine kwenye mfuko. Alipoona hatukati tamaa, alifika kwenye shamba la miwa akajilaza, lakini mbwa waliokuwa na sisi walitusaidia sana,” alisema shujaa huyo.
Aliendelea kusema kuwa walipomdaka mtuhumiwa huyo walimkuta na mfuko wa rambo, walipochungulia ndani yake walishtuka, kumbe alikuwa na mabomu yaliyosalia!
Hata hivyo, alisema yeye na mabomu yake hawakumwachia na dakika chache wananchi wenye hasira kali walifika eneo hilo wakiwa na silaha za jadi wakitaka kumuua ndipo polisi walipofika eneo hilo na kumchukua mtuhumiwa huyo kwenda naye kituoni.
Baadhi ya wananchi waliozungumza na gazeti hili walisema kijana huyo amekuwa staa ghafla, hivyo wakaitaka serikali kumfikiria kwani ameonesha kitendo cha kishujaa.
“Huyu kijana amekuwa staa ghafla aisee, kitendo alichokifanya ni cha kishujaa, si rahisi, serikali ingemfikiria kwa lolote,” alisema mtu mmoja aliyejiita Massawe na kuungwa mkono na wenzake
Saturday, April 20, 2013
Obama asifu watu wa Boston kwa uvumilivu!
Baada ya polisi kufanya msako mkubwa mjini Boston, Marekani, wamemkamata mtu wa pili anayeshukiwa kushambulia marathon ya Boston kwa bomu.
Kijana huyo alikutikana amejificha kwenye mashua baada ya mtu mmoja aliyeona mchirizi wa damu kuwazindua polisi.
Mshukiwa huyo mwenye umri wa miaka 19, na anayetoka katika eneo karibu na Chechenya, Urusi, Dzhokhar Tsarnaev, alikamatwa baada ya kufyatuliana risasi na polisi.
Amejeruhiwa vibaya na anatibiwa hospitali.
Wakaazi wa mtaa huo walipiga makofi na kushangilia wakati anaondoshwa na polisi kwa gari.
Rais Obama aliwasifu polisi na watu wa Boston kwa uvumilivu wao wakati wote wa shambulio na msako.
Piya alisema ni wazi kuwa washambuliaji wameshindwa.
Alisema watu wanataka kujua kwanini shambulio hilo limetokea:
"Bila ya shaka kuna maswala mengi hayakujibiwa.
Moja ni kwamba kwanini vijana waliokulia na kusoma hapa, wakiwa sehemu ya jamii yetu na nchi yetu, wanafanya kitendo cha maafa kama hiki?
Walipanga vipi na kutekeleza mashambulio hayo?
Na jee walisaidiwa?
Familia za wale waliouliwa kiholela wanastahiki kupata jawabu.
Majeruhi ambao baadhi yao sasa inabidi wajifunze kusimama, kutembea na kuishi tena wanahitaji jawabu.
Kwa hivo nimeliambia shirika la upelelezi la FBI na Idara ya Usalama wa Taifa na maafisa wa ujasusi kuendelea kutumia njia zote
Kijana huyo alikutikana amejificha kwenye mashua baada ya mtu mmoja aliyeona mchirizi wa damu kuwazindua polisi.
Mshukiwa huyo mwenye umri wa miaka 19, na anayetoka katika eneo karibu na Chechenya, Urusi, Dzhokhar Tsarnaev, alikamatwa baada ya kufyatuliana risasi na polisi.
Amejeruhiwa vibaya na anatibiwa hospitali.
Wakaazi wa mtaa huo walipiga makofi na kushangilia wakati anaondoshwa na polisi kwa gari.
Rais Obama aliwasifu polisi na watu wa Boston kwa uvumilivu wao wakati wote wa shambulio na msako.
Piya alisema ni wazi kuwa washambuliaji wameshindwa.
Alisema watu wanataka kujua kwanini shambulio hilo limetokea:
"Bila ya shaka kuna maswala mengi hayakujibiwa.
Moja ni kwamba kwanini vijana waliokulia na kusoma hapa, wakiwa sehemu ya jamii yetu na nchi yetu, wanafanya kitendo cha maafa kama hiki?
Walipanga vipi na kutekeleza mashambulio hayo?
Na jee walisaidiwa?
Familia za wale waliouliwa kiholela wanastahiki kupata jawabu.
Majeruhi ambao baadhi yao sasa inabidi wajifunze kusimama, kutembea na kuishi tena wanahitaji jawabu.
Kwa hivo nimeliambia shirika la upelelezi la FBI na Idara ya Usalama wa Taifa na maafisa wa ujasusi kuendelea kutumia njia zote
Monday, April 15, 2013
Milipuko yaitikisa Boston Marathon

Milipuko miwili katika eneo la kukamilisha mbio ndefu za Boston imesababisha majeruhi wasiojulikana idadi yao.
Picha na video kutoka Boston zinaonyesha watu wakiwa wamechanganyikiwa wasijue pa kwenda, huku magari ya huduma za dharura yakielekea katika eneo la tukio na watu waliojeruhiwa vibaya wakipelekwa kwenye hema la matibabu ya haraka.
"Kuna watu wengi wamelala chini," alsiema mwanariadha mmoja akinukuliwa na chombo cha habari cha AP.
Tukio hilo linaripotiwa kutokea saa tatu baada ya washindi kuvuka mstari wa ushincdi.
"Kulikuwa na mlipuko, polsi, moto na EMS kwenye eneo latukio. Hatuna namna ya kutulekeza namna watu walivyojeruhiwa," msemaji wa Polisi Boston alisema.
AP linasema kulikuwa na sauti kubwa ya mlipuko upande wa kaskazini mwa mtaa wa Boylston Street, karibu tu daraja linaashiria mstari wa kumalizia mashindano. Mlipuko mwingine ukasikika dakika chache baadaye.
Mike Mitchell wa Vancouver kutoka Canada, mwanariadha aliyemaliza kukimbia alisema alikuwa akiangalia nyuma ya mstari wa kumalizia mashindano ndipo aliposikia ‘mlipuko mkubwa’
Inataarifiwa kuwa moshi ulipanda juu hewani kiasi cha futi 50 (mita 15),' aliliambia shirika la habari la Reuters , na watu wakaanza kukimbia wakipiga mayowe baada ya kusikia
"Kila mtu alichanganyikiwa,’ alisema.
Waliokuwa wakimalizia mbio hizo waliongozwa kuepuka eneo lenye moshi kwenye mlipuko wakati huo huo eneo hilo likifungwa.
Tawi la Msalaba Mwekundu la Mashariki mwa Massachusetts limetenga kituo cha kusaidia majeruhi.
.
Mahakama yaamuru Mubarak asizuiliwe tena.
Mahakama ya rufaa nchini Mirsi imeamuru rais wa zamani wa nchi hiyo, Hosni Mubarak hapaswi kuzuiliwa tena kuhusiana na vifo vya waandamanaji waliofariki wakati wa mapinduzi yake.Lakini Mubaraka atasailia kizuizini huku uchunguzi ukifanywa kuhusiana na kesi ya ulaghai dhidi yake. Hii ni kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali Misri
Taarifa zinazohusiana
Siasa
Mahakama ya rufaa mjini Cairo iliamuru hilo ikisema kuwa Mubaraka amezuiliwa kwa miaka miwili kipindi kinachoruhusiwa cha mshukiwa yeyote kuzuiliwa kabla ya kesi kusikilizwa na kuamuliwa.
Kesi dhidi ya Mubarak itasikilizwa tena huku akitaka uamuzi wa kufungwa maisha jela kubatilishwa.
Aidha Mubarak,aliyetawala Misri kwa miongo mitatu aling'olewa mamlakani katika mapinduzi ya kiraia mwaka 2011.
Amekuwa akizuiliwa tangu Aprili mwaka 2011 baada ya kuhusishwa na vifo vya mamia ya waandamanaji waliofanya maandamano ya amani wakimtaka aondoke mamlakani Januari kati ya tarehe 25-31.
Pia anakabiliwa na kesi ya ufisadi.
Mawakili wake walitaka mahakama kumwachilia Mubaraka kwani amezuiliwa kwa miaka miwili sasa na kulingana na sheria anapaswa kuachiliwa ikiwa kesi yake haijaamuliwa.
Subscribe to:
Posts (Atom)


.jpg)

