Friday, February 27, 2015
Monday, February 23, 2015
Sunday, February 22, 2015
Friday, February 20, 2015
CHEKI VIDEO YA BARNABA,VANESSA MDEE - SIRI HAPA.
STOP ALBINO KILLINGS.
MTU MWEUSI ALIYEBAGULIWA ATAKA HAKI.
Mtu aliyezuiliwa kuingia Paris Metro train na mashabiki wa timu ya mpira ya Chelsea kwa sababu ya ubaguzi wa rangi ametaka waadhibiwe.
Mtu huyo mwenye miaka 33 anayeitwa Souleymane S aliambia gazeti la Le Parisien: “Hawa watu, hawa mashabiki wanapaswa kufungwa".
Video ilionyesha mtu huyo akizuiliwa kuingia kwenye Metro na akisukumwa na mashabiki hao.
Watu walisikika wakiimba: "Sisi ni wabaguzi wa rangi na hivyo ndivyo tupendavyo".
Kanda hiyo ya video ilitolewa na gazeti la the Guardian lililotoa ripoti kuwa tokeo hilo lilifanyika Richelieu-Drouot katika mji mkuu wa Fance siku ya Jumanne kabla mechi ya Champions Legue.
Tuesday, February 17, 2015
Sunday, February 15, 2015
R.I.P MZEE EBBY SYKES.
Friday, February 13, 2015
Thursday, February 12, 2015
Wednesday, February 11, 2015
NEW T SHIRT KUTOKA KWA NASH MC ZUZU KUISHI AU KUISHIA PATA T SHIRT YAKO SASA KWA TSH 15000 TU.
MABADILIKO YANAANZA NA MIMI.
Rasmi nimejisajili na timu hii ya hamasa ya mabadiliko katika nchi yangu kwa kuvaa jezi yangu yenye kauli mbiu ya kiume,2015 KUISHI AU KUISHIA lakini Mimi nitachagua KUISHI nikiwa na maana ya kwamba,hauwezi ukawa unaishi bila mabadiliko na sasa tunahitaji mabadiliko ya dhati,muziki wangu nautumia kuitetea jamii ya wanyonge na mafukara wenzangu sitokubali kutumika na Chama au kuvaa jezi zao ilhali nikijua kabisa wanaumiza wanyonge wenzangu,kama unaamini katika kuleta hamasa ya mabadiliko basi unaweza kununua jezi hii kwa T.SH 15000/= tu na ukajiunga katika timu hii.
Piga namba 0713 900 994 , 0769 522 346.
#2015KUISHIAUKUISHIA
Rasmi nimejisajili na timu hii ya hamasa ya mabadiliko katika nchi yangu kwa kuvaa jezi yangu yenye kauli mbiu ya kiume,2015 KUISHI AU KUISHIA lakini Mimi nitachagua KUISHI nikiwa na maana ya kwamba,hauwezi ukawa unaishi bila mabadiliko na sasa tunahitaji mabadiliko ya dhati,muziki wangu nautumia kuitetea jamii ya wanyonge na mafukara wenzangu sitokubali kutumika na Chama au kuvaa jezi zao ilhali nikijua kabisa wanaumiza wanyonge wenzangu,kama unaamini katika kuleta hamasa ya mabadiliko basi unaweza kununua jezi hii kwa T.SH 15000/= tu na ukajiunga katika timu hii.
Piga namba 0713 900 994 , 0769 522 346.
#2015KUISHIAUKUISHIA
KAZI NYINGINE NZURI TOKA KWA WAKAZI KWA MTOGOLE WIKI IJAYO.
Nyimbo nyingine mpya kutoka kwenye Mixtape ya Wakazi "Live Stakishari" inayotoka wiki ijayo Kwa Mtogole.
Tuesday, February 10, 2015
TAR 15/2 TAPE YA P THE MC NA ZAIID INAYOKWENDA KWA JINA LA MWENGE-KIWALANI ITAKUA MTAANI.
#LIPIA_KABLA_MWENGE_KIWALANI_MIXTAPE!!!!
KWA WALIPAJI WA KABLA WA #MWENGE_KIWALANI_MIXTAPE TUMIA NAMBA HIZI....
KWA WATU WA #DAR_ES_SALAAM WANAWEZA KULIPIA HATA KWA CD MOJA, LAKINI WA #MKOANI MALIPO YAANZIE #CD_TANO ( 5 ) CHINI YA HAPO USITUME PESA YAKO MPAKA TUTAKAPOANDAA MFUMO UTAKAOWAFAA KWA KULIPIA CD MOJA::
( UKITUMA PESA TUMA NA "SMS" YA JINA LAKO, JINA LA WAKALA ULIYEMTUMIA AU AKAUNTI YAKO ULIYOTUMIA NA MAHALI ULIPO)
KWA WALIPAJI WA KABLA WA #MWENGE_KIWALANI_MIXTAPE TUMIA NAMBA HIZI....
KWA WATU WA #DAR_ES_SALAAM WANAWEZA KULIPIA HATA KWA CD MOJA, LAKINI WA #MKOANI MALIPO YAANZIE #CD_TANO ( 5 ) CHINI YA HAPO USITUME PESA YAKO MPAKA TUTAKAPOANDAA MFUMO UTAKAOWAFAA KWA KULIPIA CD MOJA::
( UKITUMA PESA TUMA NA "SMS" YA JINA LAKO, JINA LA WAKALA ULIYEMTUMIA AU AKAUNTI YAKO ULIYOTUMIA NA MAHALI ULIPO)
Subscribe to:
Posts (Atom)